News
Magereza mapya nane yamejengwa, hospitali ya Dodoma na kutumia TEHAMA katika magereza 66. Zimamoto imepata magari 12, vituo ...
Makongamano ya aina hii yanapaswa kuwa endelevu tukizingatia kwamba hilo ndilo kongamano mama la makongamano yote.
Kwa mujibu wa takwimu hizo jumla ya wanafunzi 158,374 waliacha shule za msingi na wengine 148,337 wakiacha sekondari mwaka ...
Baba wa bibi harusi, Jaffary Michael, amesimulia alivyopewa taarifa ya ajali mbaya ya mabasi wakati sherehe ikiendelea, ...
Amesema mabaki ya miili 33 yamepelekwa kwa Mkemia Mkuu wa Serikali ili kuitambua na kuikabidhi kwa familia kwa ajili ya ...
Mchungaji Laizer aliyekuwa Mkuu wa Jimbo la Magharibi amesimikwa leo Juni 30, 2025 katika Kanisa la KKAM Dayosisi ya Arusha ...
Vyama vya siasa mtafanya kosa kubwa sana endapo mtawateua waliochukua fomu za ubunge kufanya mzaha na kushusha hadhi ya ...
Kwa mujibu wa Latra, watoa huduma ambao mfumo wao wa tiketi mtandao hausomani na mifumo ya Serikali hawataruhusiwa kuendelea ...
Dk Mwinyi ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Juni 30, 2025 wakati wa mahafali ya kwanza ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii ...
Hili linasemwa wakati ambao tayari utekelezaji wa sheria ya bima ya afya kwa wote umeanza, huku utaratibu maalumu ukiwa ...
Licha ya Baraza Kuu la Chadema kuwavua uanachama wabunge hao baada ya kukaidi wito wa kwenda kuhojiwa kuhusu tuhuma za kwenda ...
Bajeti hiyo inayoanza kutekelezwa kesho, inang’ata na kupuliza kwa wafanyabiashara na bodaboda ambao wameondolewa baadhi ya ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results